Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, July 14, 2013

WAASI WAVAMIA KONGO KWA MARA NYINGINE,

Familia zakimbia makazi yao nchini Kongo kutokana na kuhofia juu ya waasi waliokuwa mafichoni

Familia nyingi zakimbia mashambulio ya waasi wa M23  mashariki mwa Congo DRC
Hawa ni baadhi ya wakimbizi wakihama maeneo yao kuelekea nchini Uganda.

Ni zaidi ya watu 30,000 wameyakimbia makazi yao nchini kongo na kwenda Nchi jirani ya Uganda baada ya kusemekana kwamba kundi la waasi ambalo lilikuwa nje kidogo ya masharikr ya Kongo kuvamia mjini hapo.

Watu hao wameweza kuonekana baada ya wengine kubeba kuni vichwani mwao na wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo migongoni na kusema kwamba waliweza kuondoka wakati waasi hao wakijaribu kuwavamia.Pia imeonekana kwamba watu hao wameweza kuyahama makazi yao na kujikuta kutumbukia katika matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa chakula ,mavazi na maradhi.

imeandaliwa na Happy Adam
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment