Writen by
sadataley
10:13 PM
-
0
Comments
Familia zakimbia makazi yao nchini Kongo kutokana na kuhofia juu ya waasi waliokuwa mafichoni
Ni zaidi ya watu 30,000 wameyakimbia makazi yao nchini kongo na kwenda Nchi jirani ya Uganda baada ya kusemekana kwamba kundi la waasi ambalo lilikuwa nje kidogo ya masharikr ya Kongo kuvamia mjini hapo.
Watu hao wameweza kuonekana baada ya wengine kubeba kuni vichwani mwao na wanawake wakiwa wamebeba watoto wadogo migongoni na kusema kwamba waliweza kuondoka wakati waasi hao wakijaribu kuwavamia.Pia imeonekana kwamba watu hao wameweza kuyahama makazi yao na kujikuta kutumbukia katika matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa chakula ,mavazi na maradhi.
imeandaliwa na Happy Adam
No comments
Post a Comment