Writen by
sadataley
9:10 PM
-
0
Comments
Snowden ana nyaraka ambazo zinaweza kuiletea Marekani madhara makubwa.
kijana Snowden anapozungumza akiwa Russia
Hayo yalisemwa na mwandishi wa habari wa marekani.Pia amesema kwamba halikuwa lengo la kijana huyo(Snowden) kuiumiza Marekani,hata hivyo kijana huyo alisema ana idadi kubwa ya nyaraka ambazo watu wamekuwa wakitumia bila uangalifu katika kusalimisha haki zao kwa faragha. Hata hivyo kijana huyo ameweza kutoa nyaraka hizo kwa baadhi ya waandishi.
Hivyo serikali ya Marekani imeaswa kuwa makini hii ikiwa na kwamba kisiweze kutokea kitu chochote kwa kijana huyo kwani wanaweza wakajiweka katika hali mbaya na ya kutatanisha.
Hata hivyo Kristinn Hrafnsson,alisema kuwa kuna siri zingine zihusuzo Marekani ambazo zitaweza kuwa wazi.
kwahabari zaidi tembelea;http://edition.cnn.com/2013/07/14/politics/nsa-leak-greenwald/index.html?hpt=hp_t
imeandaliwa na: Happy adam
No comments
Post a Comment