Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, July 25, 2013

'Rais mmoja aweza kuongoza serikali tatu'

SERIKALI tatu zinaweza kuongozwa na Rais mmoja bila kuwabebesha wananchi gharama za kuhudumia marais watatu. Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta alisema kama itatokea Katiba inapitisha kuwepo serikali mbili au tatu, basi ni vyema Rais akawa mmoja na wengine wakapewa vyeo vingine ili wananchi wasipewe mzigo na gharama za kuhudumia viongozi. 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Kwa habari zaidi ingia:-www.magazetini.com/news/rais-mmoja-aweza-kuongoza-serikali-tatu
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment