Writen by
sadataley
5:04 AM
-
0
Comments
RAIA wa kigeni, Henry Domzalski anayemiliki kampuni ya Beachfront ya jijini Dar es Salaam, anakabiliwa na tuhuma za kuinyima mapato serikali kutokana na kutolipa kodi, licha ya kuwa amekuwa akifanya biashara ya kupangisha nyumba kwa takribani miaka minane sasa.Ingia hapa ili kuisoma
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/14328-raia-wa-kigeni-akwepa-kodi-kwa-miaka-8
No comments
Post a Comment