Writen by
sadataley
5:01 AM
-
0
Comments
MWENYEKITI wa Kitongoji cha Kwemakumbi katika Kijiji cha Kireguru Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, Hamza Rajabu Ngaramilo (56), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ili kugawa ardhi kwa wahamiaji wageni kijijini hapoIngia hapa kuendelea ili kuisoma
www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/14329-afungwa-kwa-rushwa-ya-kuuza-ardhi-kwa-wageni
No comments
Post a Comment