Writen by
sadataley
6:26 AM
-
0
Comments
Mchungaji John Mhekwa siku ya jana yaani 19.07.2013 aliingia katika maisha ya Unyumba baada ya kufunga ndoa na Bi. Adia Msuva huko katika Usharika wa Makifu Mtaa wa Mahuninga. Mchungaji John Mhekwa ni Mchungaji Katika KKKT Dayosisi ya Iringa.
Mama Mchungaji Mhekwa
Mkuu wa Jimbo La Magharibi Mchungaji Agnes Kulanga akiongoza ibadaBaba Askofu Dkt.Owdenburg Mdegella akiwa katika ibada
Wachungaji Wakiimba wimbo wa pamoja
Kwaya wa Wamasai nayo haikuwa nyuma
Mchubgaji Mhekwa akisaini hati yake ya ndoa
Mama Mchungaji Mhekwa akisaini hati ya ndoa
Mchungaji Thadei Kihwaga akisaini
Mama Mchungaji Thadei Kihwaga akisaini
Baba Askofu Dkt. Owdenburg Moses Mdegella akisaini pia
Haya hii ni hati yenu itunzeni vizuri ni maneno ya Baba Askofu Dkt. Owdenburg Mdegella
No comments
Post a Comment