Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, July 30, 2013

PAPA FRANCIS AOMBA KWA AJILI YA MAJERUHI NA WALE WOTE WALIOKUFA KWA AJALI YA BASI HUKO ITALIA.

Papa Francis ametuma ujumbe wa rambirambi kwa waathirika wa ajali ya basi ambayo iliua watu wapatao 38 nchini Italia.   People crowd a sport hall set up for the funeral service of some of the victims of Sunday's bus crash, in Pozzuoli, near Naples (Photo: PA)
hao ni baadhi ya watu ambao walikusanyika kwenye moja ya viwanja huko Italia kwaajili ya kuanza huduma ya mazishi ya baadhi ya waanga waajali hiyo.

Kulingana na taarifa zakutokea kwaajali hiyo zimesema kwamba watu 38 wafariki papohapo na wengine 19 walipotiwa kuwa walijeruhiwa vibaya sana ni mara baadaya gari hilo kuwakatika mwendokasi na kuwa katika mteremko mkali sana na hatimaye kuacha njia  na kupinduka na kusababisha ajali hiyo kutokea.

Ujumbe wa Papa, iliyosainiwa na Katibu wa Jimbo Kardinali Tarcisio Bertone na kupelekwa kwa Askofu Mkuu Kardinali wa Naples, Cresenzio Sepe, alisema: "alisoma habari ya kusikitisha ya ajali kubwa ambayo ilitokea katika maeneo ya barabara za viaduct A16 Napoli-Canos, ambapo  watu wengi watu  waliweza kupoteza maisha, ambao baadhi yao walikuwa ni watoto, Baba Mtakatifu anashiriki maumivu makubwa, wakati wa kuhakikisha maombi yake ya dhati kwa ajili ya waathirika wengi.


"Baba Mtakatifu aliomba kwakusema kwamba wao watapewa mapumziko ya milele na awaombea  Baraka kwamba Bwana  awaponye wale wote ambao walijeruhiwa na kutoa faraja kwa wale wanaoomboleza kwaajili ya wapendwa wao waliofariki mara tu ya ajali hiyo."


Imewekwa na Happy Adam




« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment