Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, July 2, 2013

MAADHIMISHO YA SIKU YA SERIKALI ZA MITAA YAFANA IRINGA MANISPAA YA IRINGA LEO

 Mbunge Msigwa na  mkuu  wa  wilaya ya  Iringa  wakitazama  ndizi aina ya Jamaica inayolimwa Mtwivila Iringa iliyoletwa katika maonyesho ya  serikali za mitaa leo Mjini Iringa 
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini akiwasili jukwaa kuu na kusalimiana na mkuu wa Wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba
Hapa  Mbunge Msigwa akisalimiana na Naibu Meya  wa Manispaa ya Iringa Gervas Ndaki
Mtaalam kutoka AMREF Bi Stellah akitoa maelezo kuhusu huduma  zinazotolewa na AMREF
Mhandisi  wa Manispaa ya Iringa Mashaka Luhamba  akitoa maelezo ya idara ya ujenzi inavyofanya kazi katika Manispaa ya  Iringa ambao kwa sasa  wamepiga hatua katika  ukarabati wa barabara za mitaa
Maofisa  habari  wa  Halmashauri ya  manispaa ya  Iringa Sima Bingileki kushoto akiwa na msaidizi wake Janeth Matondo leo  katika maadhimisho hayo ambapo  IMTV wamepata  kupongezwa kwa  kazi nzuri  inayofanyika ya upashaji habari  Mjini Iringa
Mkuu  wa wilaya ya  Iringa Dr Leticia  Warioba akimtazama  kwa makini  askari wa kikosi cha  zimamoto mjini Iringa akionyesha jinsi  ya kuzima  moto

Watangazaji  wa kituo  bora  cha matangazo  cha  televisheni ya  Manispaa ya  Iringa (IMTV) wakiwa katika banda lao la maonyesho leo katika  viwanja vya Mwembetogwa Mjini Iringa 
Picha kwa hisani ya Francisgodwin Blog 
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment