Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Tuesday, July 2, 2013

MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AFUNGA MKUTANO WA SIKU TATU WA VIONGOZI WA KIMATAIFA WENYE LENGO LA KUTOKOMEZA NJAA BARANI AFRIKA,JIJINI ADDIS ABABA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mommmed Gharib Bilal, akifunga Mkutano wa siku tatu wa Viongozi wa Kimataifa wenye lengo la kutokomeza njaa Barani Afrika .Mkutano huo ulimazika jana jioni mjini Addis Ababa Ethiopia.
Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa Kimataifa kuzungumzi juu ya kutokomeza tatizo la njaa Barani Afrika uliomalizika mjini Addis Ababa Ethiopia leo.
                                                Habari kwa hisani ya Issa  Michuzi Blog
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment