Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 31, 2013

KIFO NI BORA KULIKO KUOLEWA.

Ni mara baada ya mtoto kutoka Yemeni mwenye umri wa miaka 11 kutaka kuozeshwa na wazazi wake,akili kwa kusema kwamba elimu ni bora kuliko kuolewa.
Watch this video
Mtoto mwenye umri wa miaka 11 aliyekimbia kutokana na wazazi wake kutaka kumuoza.

"unaweza kupata furaha pale unapoozwa wakati umri hauruhusu?" mtoto huyo aitwaye  Nada Al-Ahdal aliuliza.

Mtoto huyo aliweza kulalamika na kuwalaani wazazi wake marabaada ya kutaka kumuoza mtoto huyo ili waweze kupata fedha kwaajili ya mahitaji yao.

"kifo kitakuwa ni furaha kwangu" Nada Al-Ahdal alisema kwa masikitiko makubwa.
Mtoto huyo pia aliweza kuzungumza kwa niaba ya watoto wote ambao huolewa kabla ya umri wao huko Yemeni,na aliweza kusema kwamba ni kipi hasa kinachofanya mpaka waolewe kabla ya wakati na aliweza kuuliza kwamba ipi ni haki yao anbayo wanaipata na badala yake kuishia kuolewa tu.

pia imeweza kuthibitika kwamba ni asilimia kubwa ya watoto ambao huweza kuolewa kabla ya umri huko Yemeni.
kwahabari zaidi:http://edition.cnn.com/2013/07/30/world/yemen-child-marriage/index.html?hpt=hp_c1

Imewekwa na Happy Adam

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment