Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, May 26, 2013

UZINDUZI WA DAYOSISI YA KUSINI MASHARIKI LEO  HAPA MTWARA
 Katibu Mkuu wa Kanisa  Bw. Brighton Kilewa  akiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kusini Mashariki Mwl. Jane Kambo

  Neno Msalaba Mbele Dunia Nyuma tayari kwa maandamano
Mama Edith Siyovelwa mwenyekiti wa Kwaya Kuu ya dayosisi ya Iringa naye alikuwepo 

      Brown Lee ndiye mtoto aliyeshiriki katika kusikwa kwa Askofu Mbedule kutoka Iringa akiwa na baba yake Bw. Brown Emmanuel

                                 Mzee Mushi mwimbaji  wa Kwaya Kuu ya Dayosisi ya Iringa 

Baadhi ya Wachungaji toka Dayosisi mbalimbali tayari kwa maandamano
                               Wasaidizi wa maaskofu tayari kwa kuanza maandamano
Mchungaji Pindua Msambaye ndiye aidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Morogoro naye alikuwepo

Maaskofu wakisubiri kupokea maandamano
  Maaskofu wakisubiri kupokea maandamano

 Askofu Mteule akifuatilia taratibu za ibada ya uzinduzi wa Dayosisi kwa uakini
Askofu Dkt. O.M Mdegella ambaye kwasasa ndiye Askofu mwenye miaka mingi kam Askofu (The most senior Bishop)

                              Kwaya Kuu ya Dayosisi ya Iringa tayari kwa kuimba naye alikuwepo





Baadhi ya wake za Maaskofu wakishiriki maandamano
Wasadizi wa Maaskofu katika maandamano 


Askofu Ngonyani wa  RC_Jimbo la Lindi
Askofu Mteule kabla ya kusimikwa
Askofu Makala wa Dayosisi ya Kaskazini mwa Ziwa Victoria
Askofu  Alex Mkumbo wa Dayosisi ya Kati(Singida)
Askofu Kinyunyu wa Dayosisi ya Dodoma
Askofu Levis Sanga  wa Dayosisi ya Kusini Kati (Makete)
Askofu Reihard Mtenji wa Dayosisi yaUlanga Kilombero
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Newala, Oscar Mnung’a 
Askofu Dkt.O.M Mdegella akishauriana jambo na Askofu Yesaya Mengele

Katibu Mkuu wa kanisa akisoma hati ya Dayosisi ya Kusini Mashariki 



 


Askofu Yesaya Mengele akisoma amneno ya utangulizi wakati wa uzinduzi wa Dayosisi ya Kusini Mashariki 

Mmiliki wa Blog hii Mchungaji Kurwa sadataley akifuatilia matukio wakati wa uzinduzi wa Dayosisi 

Askofu Dkt. Benson Bagonza akisoma Neno
Askofu Yesaya Mengele akisoma Neno



Askofu Moshi akisoma Neno

Askofu Paul Akyo akisoma Neno
Askofu  Amoni Kinyunyu wa Dayosisi ya Dodoma akisoma Neno


Maafisa wa Dayosisi ya Kusini Mashariki wakijibu sehemu ya kiapo cha kuzinduliwa Dayosisi ya kuzini  wa pili ni  Msaidizi wa Askofu Mteule na anayefuata ni Askofu Mteule Lucas Mbedule 
Maneno rasmi ya uzinduzi wa  Dayosisi ya Kusini Mashariki




Tayari kwa uzinduzi wa Mnara wa Dayosisi mpya


Tayari uzinduzi rasmi wa  Dayosisi ya Kusini Mashariki umekamilika
 
Mnara maaalum wa uzinduzi wa Dayosisi ya Kusini Mashariki

Mkuu wa Kanisa tayari  uzinduzi wa eneo litakapojengwa Kanisa Kuu 
 Dayosisi ya Kusini Mashariki
Mkuu wa Kanisa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa eneo litakapojengwa Kanisa Kuu 
 Dayosisi ya Kusini Mashariki






Ulinzi ulikuwa umeimarishwa sana 




Mama Mchungaji Donald Kiwanga naye alikuwepo akitokea Dayosisi ya Iringa 

Wasaidizi wa Maaskofu wakisikiliza kwa umakini mkubwa 
Wageni toka nchi za nje
Wageni kutoka Finland 

Wazazi wa Askofu Lucas Mbedule 

Wake za Maaskofu 
Mwenye miwani ni Mama Askofu Mengele, Mbedule na wanne kwa mbali ni 
Mama Askofu Dkt. O.M Mdegella 










« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment