Writen by
sadataley
3:44 PM
-
0
Comments
ANAYETUHUMIWA KUMUUA PADRI MUSHI WA ZANZIBAR AFIKISHWA MAHAKAMANI
Mtuhumiwa wa Mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Minara Miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kabla ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo.
Mtuhumiwa wa Mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Minara Miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kabla ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo.
Mawakili wanaomtetea Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri , Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) wakili Abdalla Juma (kulia) na Rajab Abdalla wakipitia majalada kabla ya kutajwa kwa kesi ya mteja wao katika mahakama Kuu Vuga mjini Zanzibar. Picha zote kwa hisani ya Francis Dande
No comments
Post a Comment