Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, March 11, 2018

Trump na Kim kukutana

 Rais wa Marekani Donald Trump amekubali kufanya mkutano wa kwanza wa kihistoria na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un katika hatua ya kushangaza ya mzozo mkali wa nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini. Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Korea Kusini Chung Eui-yong ndiye aliyetangaza kuhusu mkutano wa kwanza kabisa kuwahi kufanyika kati ya rais wa Marekani na Kiongozi wa Korea Kaskazini.  




Dw.com

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment