Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, March 11, 2018

Mwanamke wa kwanza mwafrika kushinda Nobel alikuwa mwanamazingira .

Wangari Maathai (picture-alliance/dpa)


Mkenya huyu, Wangari Maathai (1940-2011) alikuwa mwanamazingira na mtetezi wa haki za wanawake miaka ya 1970. Kama mwasisi wa vugu vugu la Green Belt, alikabili masuala ya jangwa, ukataji wa miti, tatizo la maji na njaa katika maeneo ya mashambani. Pamoja na kuwa ilichukua muda mrefu kwa taifa lake kumkubali, mwaka 2004, alitunukiwa tuzo ya Amani ya Nobel kwa kazi yake.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment