Writen by
sadataley
11:15 AM
-
0
Comments
Mkenya huyu, Wangari Maathai (1940-2011) alikuwa mwanamazingira na mtetezi wa haki za wanawake miaka ya 1970. Kama mwasisi wa vugu vugu la Green Belt, alikabili masuala ya jangwa, ukataji wa miti, tatizo la maji na njaa katika maeneo ya mashambani. Pamoja na kuwa ilichukua muda mrefu kwa taifa lake kumkubali, mwaka 2004, alitunukiwa tuzo ya Amani ya Nobel kwa kazi yake.
No comments
Post a Comment