Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, March 4, 2018

Makampuni yashinikizwa kutowekeza kwa watengeneza silaha Marekani

Makampuni yanayouza silaha yatakiwa kuhakikisha usalama wa matumizi ya silaha unakuwepo


Image captionMakampuni yanayouza silaha yatakiwa kuhakikisha usalama wa matumizi ya silaha unakuwepo
Kampuni kubwa ya usimamizi katika uwekezaji imeweka shinikizo dhidi ya makampuni yanayotengeneza na kuuza silaha baada ya tukio la mashambulizi katika shule ya Florida.
Shirika hilo limesema jambo linatakiwa kufanyika baada ya tukio la Florida ambapo watu 17 walipoteza maisha.
Shirika hilo ni mdau mkubwa katika viwanda vikubwa viwili vya kutengeneza silaha nchini Marekani.
Black Rock inaamini kuwa tukio hilo linahitaji mwitikio kutoka kwenye sekta zote, za uma na binafsi.
BBC
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment