Writen by
sadataley
10:33 AM
-
0
Comments
Kampuni kubwa ya usimamizi katika uwekezaji imeweka shinikizo dhidi ya makampuni yanayotengeneza na kuuza silaha baada ya tukio la mashambulizi katika shule ya Florida.
Shirika hilo limesema jambo linatakiwa kufanyika baada ya tukio la Florida ambapo watu 17 walipoteza maisha.
Shirika hilo ni mdau mkubwa katika viwanda vikubwa viwili vya kutengeneza silaha nchini Marekani.
Black Rock inaamini kuwa tukio hilo linahitaji mwitikio kutoka kwenye sekta zote, za uma na binafsi.
BBC
No comments
Post a Comment