Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, March 17, 2018

Kwa mara nyingine China yamchagua Xi Jinping kuwa rais

Bunge la China kwa mara nyingine limemchagua Xi Jinping kuwa rais wa muhula wa pili.

Xi Jinping ameshinda kwa kura 2970 na kuwa mwenyekiti wa tume ya jeshi.

Wang Qishan amechaguliwa kuwa makamu wa rais.

Wiki iliyopita China ilipitisha sheria ya kuondoa kikomo kwa rais na makamu wake.

Katiba inawaruhusu viongozi hao wawili kulitumikia taifa bila kikomo.

Hatua hiyo imemfanya rais wa sasa wa China Jin Jinping kuwa madarakani baada ya mwaka wa 2023, wakati - chini ya sheria za zamani - muda wake ulikuwa umekamilika.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment