Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, March 12, 2018

Harry Kane kufanyiwa vipimo zaidi kuhakikisha mambo safi


Harry Kane ameanza matibabu ikiwa ni kuangalia alichoumia.

Kane aliyeumia katika mechi dhidi ya Bournemouth alimeifungia Tottenham na England mabao 39 katika michuano yote msimu huu ameonekana akiwa na mpenzi wake Katie huku mguu wake ukiwa umefungwa bandeji ngumu.

Kumekuwa na hofu kuwa atakosa hadi wiki mbili lakini juhudi zinafanyika kuhakikisha anarejea haraka.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 atafanyiwa vipimo zaidi kesho na baada ya hapo suala la matibabu litachukua nafasi yake.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment