Writen by
sadataley
6:40 PM
-
0
Comments
Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano, Prof.Makame M.Mbarawa akiongea na wadau mbalimbali wa Masuala ya Mawasiliano
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof.Makame Mbarawa Jumatano hii amezindua rasmi huduma ya kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani inayojulikana kitaalamu kama (Mobile Number Portability(MNP). Chini ni picha zaidi za uzinduzi huo.
Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame M.Mbarawa akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wanaotoa huduma za mawasiliano za simu za mkononi,Watatu kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya sheria wa Vodacom Tanzania,Nina Pendael Eshun,Mara baada ya Waziri huyo kuzindua rasmi huduma ya kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani inayojulikana kitaalamu zaidi kama (Mobile Number Portability (MNP).Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof.Makame Mbarawa Jumatano hii amezindua rasmi huduma ya kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani inayojulikana kitaalamu kama (Mobile Number Portability(MNP). Chini ni picha zaidi za uzinduzi huo.
Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame M.Mbarawa akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wanaotoa huduma za mawasiliano za simu za mkononi,Watatu kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya sheria wa Vodacom Tanzania,Nina Pendael Eshun,Mara baada ya Waziri huyo kuzindua rasmi huduma ya kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani inayojulikana kitaalamu zaidi kama (Mobile Number Portability (MNP).Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo jijini Dar es Salaam
Chanzo:Muungwana Blog
No comments
Post a Comment