Writen by
sadataley
5:52 PM
-
0
Comments
Msemaji wa serikali Ridwan Haji Abdiwali amesema mtu mmoja anashikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na shambulizi hilo na uchunguzi zaidi unaendelea ili kuwabaini wahusika wengine.
Taarifa toka nchini humo zinesema polisi wanne na Ofisa mmoja wa serikali ni miongoni mwa watu waliouawa.
Mogadishu imeendelea kukumbwa na mashambulizi ya kujitoa mhanga na yale ya kutegwa yanayotekelezwa na kundi la al-Shabaab ambalo ilitimuliwa kutoka katika ngome zao muhimu.
Shambulizi hilo limekuja wakati huu ambapo kikosi cha Umoja wa Afrika AU kilichopo nchini humo AMISOM kikilitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuliongezea nguvu jeshi lao kwa kuongeza idadi ya wanajeshi kama jitihada za kulitokomeza kabisa kundi la al-Shabaab.
Taarifa toka nchini humo zinesema polisi wanne na Ofisa mmoja wa serikali ni miongoni mwa watu waliouawa.
Mogadishu imeendelea kukumbwa na mashambulizi ya kujitoa mhanga na yale ya kutegwa yanayotekelezwa na kundi la al-Shabaab ambalo ilitimuliwa kutoka katika ngome zao muhimu.
Shambulizi hilo limekuja wakati huu ambapo kikosi cha Umoja wa Afrika AU kilichopo nchini humo AMISOM kikilitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuliongezea nguvu jeshi lao kwa kuongeza idadi ya wanajeshi kama jitihada za kulitokomeza kabisa kundi la al-Shabaab.
No comments
Post a Comment