Writen by
sadataley
5:56 PM
-
0
Comments
Rais wa Taifa hilo Jacob Zuma amewataka raia wake kujitokeza kwa wingi katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kufanyika kwa amani na utulivu, huku vyombo vya usalama vikisema vimejidhatiti kuhakikisha hakuna uvunjifu wowote wa amani utakaojitokeza.
Vijana waliozaliwa baada ya mwaka 1994 ambao kwa mara ya kwanza washiriki zoezi hilo baada ya kutimiza umri unaoruhusiwa, wamehimizwa kujitokeza zaidi na kuchaguzi viongozi wao.
Zuma ambaye anatarajiwa kuwania tena Urais katika uchaguzi ujao kupitia chama tawala cha ANC amesema anatarajia uchaguzi ujao utaendeleza historia nzuri katika utawala wa kidemokrasia ndani ya Taifa hilo.
Hata hivyo umaarufu wa kiongozi huyo na chama chake kilichokumbwa na migogoro na utadhihirika hapo mwakani atakapochuana na Julius Malema ambaye alitimuliwa kutoka katika chama hicho.
Vijana waliozaliwa baada ya mwaka 1994 ambao kwa mara ya kwanza washiriki zoezi hilo baada ya kutimiza umri unaoruhusiwa, wamehimizwa kujitokeza zaidi na kuchaguzi viongozi wao.
Zuma ambaye anatarajiwa kuwania tena Urais katika uchaguzi ujao kupitia chama tawala cha ANC amesema anatarajia uchaguzi ujao utaendeleza historia nzuri katika utawala wa kidemokrasia ndani ya Taifa hilo.
Hata hivyo umaarufu wa kiongozi huyo na chama chake kilichokumbwa na migogoro na utadhihirika hapo mwakani atakapochuana na Julius Malema ambaye alitimuliwa kutoka katika chama hicho.
No comments
Post a Comment