Writen by
sadataley
6:04 PM
-
0
Comments
Bao la kwanza lilipachikwa katika dakika ya 9 ambapo Mexico ilijifunga yenyewe kupitia kwa mchezaji wake Eric Aguirre.
Katika nusu ya pili ya mchezo huo Nigeria iliongeza mabao mawili kupitia Kelechi Iheanacho na Musa Mohammed.
Nigeria ilitwaa kombe hilo katika miaka ya 1985, 1993, 2007 na ushindi wa sasa unaipa historia ya pekee ya kuwa Taifa pekee duniani lililotwaa ubingwa huo kwa mara nne.
Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Bletter ni miongoni mwa vigogo wa soka waliofika Abu Dhabi kushuhudia mtanange huo.
Katika nusu ya pili ya mchezo huo Nigeria iliongeza mabao mawili kupitia Kelechi Iheanacho na Musa Mohammed.
Nigeria ilitwaa kombe hilo katika miaka ya 1985, 1993, 2007 na ushindi wa sasa unaipa historia ya pekee ya kuwa Taifa pekee duniani lililotwaa ubingwa huo kwa mara nne.
Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Bletter ni miongoni mwa vigogo wa soka waliofika Abu Dhabi kushuhudia mtanange huo.
No comments
Post a Comment