Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Monday, June 5, 2017

Madrid yafanya bonge la pati baada ya kupata kombe la mabingwa Ulaya

 Real Madrid sasa ina makombe 12 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya huku mchezaji wake Cristiano Ronaldo akiwa amefikisha manne.

Ronaldo, wachezaji wa Madrid, benchi la ufundi linaloongozwa na Zinedine Zidane, usiku wa kuamkia leo wamekutana kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu jijini Madrid na kufanya sherehe kubwa ya kufurahia ubingwa huo.


Kila upande umekuwa na furaha hasa baada ya ubingwa huo ambao ulionekana ni mgumu kwao.



« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment