Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Monday, June 5, 2017

Baada ya Beckham, mchezaji mwingine atua Tanzania



Siku mbili tu baada ya kuondoka kwa nyota wa zamani wa Manchester United, David Beckham ambaye alikuja nchini kwa utalii akiwa na familia yake, Tanzania imepata ugeni mwingine.

Safari hii ni Mamadou Sakho, beki wa Liverpool raia wa Ufaransa ambaye yuko mjini Arusha kwa utalii.
Sakho na ambaye anakipiga Crystal Palace kwa mkopo, naye yuko mapumzikoni na amechagua mbuga za wanyama za Tanzania kwa kazi yake hiyo.

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment