Writen by
sadataley
6:02 PM
-
0
Comments
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda akimpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili kuwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Samwel John Sitta Spikaal wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 11,2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia na Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Wiliam Mkapa alipofika kuwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Samwel John Sitta Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 11,201
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na makamu wa Rais Samia Hassan Saluhu, wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Samwel John Sitta Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 11,2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Samwel John Sitta Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 11,2016
Rais Mstaafu wa awamu awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiaga mwili wa Marehemu Samwel John Sitta Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 11,2016
Habari kwa hisani ya Ikulu Blog
No comments
Post a Comment