Writen by
sadataley
5:55 PM
-
0
Comments
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza waombolezaji katika hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Mze Benjamin Mkapa, Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Frederick Sumaye Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Mama Salma Kikwete jana Novemba 10, 2016 PICHA NA IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji Kaka wa marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji mjane wa marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji mtoto wa marehemu, Jimmy Mungai, baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji mtoto wa marehemu William Mungai marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Novemba 10, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wanafamilia baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wanafamilia baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Sehemu ya familia ya aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika hafla ya kuuaga mwili wa marehemy katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Habari kwa hisani ya Mjengwa Blog
No comments
Post a Comment