Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, August 5, 2016

Marekani yakana kuilipa kikombozi Iran

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry, amekanusha vikali madai kwamba Marekani ililipa kikombozi cha dola milioni moja kuwakomboa wafungwa wa taifa hilo waliozuiliwa nchini Iran. Amesema malipo hayo yalikuwa ya kutatua mgogoro kuhusu mpango wa ununuzi wa bidhaa za kijeshi. Wanasiasa wa chama cha Republican wameshambulia serikali kutokana na malipo hayo. Malipo hayo yalitolewa wakati wa kutia saini mkataba wa kinyuklia, na ubadilishanaji wa wafungwa ambapo wafungwa wanne wa Marekani waliachiliwa.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment