Writen by
sadataley
9:43 AM
-
0
Comments
Viongozi wa mataifa saba yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi duniani maarufu kama G7, wanasema uimarishaji wa uchumi duniani ni swala linalofaa kupewa kipau mbele.
Katika taarifa kwa vyombo vya habari baada ya mkutano wa viongozi hao nchini Japan, G7 imeahidi kuhakikisha kuwa masoko ya kimataifa yamesalia kuwa wazi, na kuzuia mbinu zozote za ulinzi wa soko, dhidi ya ushindani wa masoko ya nje.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments
Post a Comment