Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Friday, May 27, 2016

Viongozi wa G7 kuimarisha uchumi wa dunia

Viongozi wa mataifa saba yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi duniani maarufu kama G7, wanasema uimarishaji wa uchumi duniani ni swala linalofaa kupewa kipau mbele. Katika taarifa kwa vyombo vya habari baada ya mkutano wa viongozi hao nchini Japan, G7 imeahidi kuhakikisha kuwa masoko ya kimataifa yamesalia kuwa wazi, na kuzuia mbinu zozote za ulinzi wa soko, dhidi ya ushindani wa masoko ya nje.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment