Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, May 27, 2016

Viongozi wa G7 kuimarisha uchumi wa dunia

Viongozi wa mataifa saba yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi duniani maarufu kama G7, wanasema uimarishaji wa uchumi duniani ni swala linalofaa kupewa kipau mbele. Katika taarifa kwa vyombo vya habari baada ya mkutano wa viongozi hao nchini Japan, G7 imeahidi kuhakikisha kuwa masoko ya kimataifa yamesalia kuwa wazi, na kuzuia mbinu zozote za ulinzi wa soko, dhidi ya ushindani wa masoko ya nje.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment