Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, May 27, 2016

Obama rais wa kwanza Mmarekani kuzuru Hiroshima

Rais wa marekani Barrack obama atakuwa rais wa kwanaza wa taifa hilo kuzuru mji wa Hiroshima nchini Japan hivi leo, eneo la mlipuko wa bomu la kwanza la atomiki duniani. Rais Obama anatarajiwa kuweka shada la maua katika eneo hilo, kuwakumbuka watu 140,000 walioaga dunia, kutokana na shambulizi hilo lililotekelezwa na marekani.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment