Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Friday, May 27, 2016

Obama rais wa kwanza Mmarekani kuzuru Hiroshima

Rais wa marekani Barrack obama atakuwa rais wa kwanaza wa taifa hilo kuzuru mji wa Hiroshima nchini Japan hivi leo, eneo la mlipuko wa bomu la kwanza la atomiki duniani. Rais Obama anatarajiwa kuweka shada la maua katika eneo hilo, kuwakumbuka watu 140,000 walioaga dunia, kutokana na shambulizi hilo lililotekelezwa na marekani.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment