Writen by
sadataley
9:43 AM
-
0
Comments
Rais wa marekani Barrack obama atakuwa rais wa kwanaza wa taifa hilo kuzuru mji wa Hiroshima nchini Japan hivi leo, eneo la mlipuko wa bomu la kwanza la atomiki duniani.
Rais Obama anatarajiwa kuweka shada la maua katika eneo hilo, kuwakumbuka watu 140,000 walioaga dunia, kutokana na shambulizi hilo lililotekelezwa na marekani.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments
Post a Comment