Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 2, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA YA JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU YA RAIS WA BARAZA LA MAAKOFU TANZANIA HAPO JANA

Askofu Tarticius Ngalalekumtwa akisalimian na Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowasa jana 






 Askofu Tarticius Ngalalekumtwa akisalimian na Rais Mstaafu Mh.Benjamini W. Mkapa katika Jubilei yake ya miaka 25 ya Uaskofu
  Askofu Tarticius Ngalalekumtwa akiwa na wasaidizi wake tayari kwa kuanza kwa misa ya kuadhimisha Jubilei yake ya miaka 25 ya Uaskofu wake
 
Tayari Misa inaendelea sasa

Haya na tukaribie tushiriki Mwili na Damu ya Yesu
 
Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Askofu Severine Niwemugizi akisalimu katika Jubilei hiyo

Watoto wa Halaiki sasa




Maelfu ya watu toka sehemu mbalimbali wakifuatilia Misa maalum ya Jubilei hiyo hapo jana

Picha kwa hisani ya othmanmichuzi.blogspot.com
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment