Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, July 28, 2014

ASKOFU MPYA WA DAYOSISI MPYA YA RUVUMA ASIMIKWA. NI ASKOFU WA KKKT-DAYOSISI YA RUVUMA NAYE NI ASKOFU AMON MWENDA.

PG4A7267
Pichani ni Waziri Mkuu Mh. Peter Pinda akimkabidhi zawadi Askofu Amon Mwenda huku Mkuu KKKT Askofu Gehaz Alex Malasusa akisoma ujumbe wa Neno la Mungu uliandikwa katika picha hiyo maalum. Tukio hilo lilifanyika jana Mjini Songea na kuhudhuliwa na mamia ya watu.
PG4A7279
Pichani ni Waziri Mkuu Mh. Peter Pinda akimkabidhi zawadi Askofu Amon Mwenda huku Mkuu KKKT Askofu Gehaz Alex Malasusa akifurahia tukio hilo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment