Writen by
sadataley
2:13 PM
-
0
Comments
Pichani ni Waziri Mkuu Mh. Peter Pinda akimkabidhi zawadi Askofu Amon Mwenda huku Mkuu KKKT Askofu Gehaz Alex Malasusa akisoma ujumbe wa Neno la Mungu uliandikwa katika picha hiyo maalum. Tukio hilo lilifanyika jana Mjini Songea na kuhudhuliwa na mamia ya watu.
Pichani ni Waziri Mkuu Mh. Peter Pinda akimkabidhi zawadi Askofu Amon Mwenda huku Mkuu KKKT Askofu Gehaz Alex Malasusa akifurahia tukio hilo.
No comments
Post a Comment