Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Monday, July 28, 2014

ASKOFU MPYA WA DAYOSISI MPYA YA RUVUMA ASIMIKWA. NI ASKOFU WA KKKT-DAYOSISI YA RUVUMA NAYE NI ASKOFU AMON MWENDA.

PG4A7267
Pichani ni Waziri Mkuu Mh. Peter Pinda akimkabidhi zawadi Askofu Amon Mwenda huku Mkuu KKKT Askofu Gehaz Alex Malasusa akisoma ujumbe wa Neno la Mungu uliandikwa katika picha hiyo maalum. Tukio hilo lilifanyika jana Mjini Songea na kuhudhuliwa na mamia ya watu.
PG4A7279
Pichani ni Waziri Mkuu Mh. Peter Pinda akimkabidhi zawadi Askofu Amon Mwenda huku Mkuu KKKT Askofu Gehaz Alex Malasusa akifurahia tukio hilo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment