Writen by
sadataley
8:23 PM
-
0
Comments
HABARI NJEMA KWA WAPENZI WA KUNDI LA GLORIOUS WANARUDI TENA KILA IJUMAA
Glorious ambao ni kundi la kwanza la muziki wa injili nchini kuamua kuwa na siku maalumu ya kuwakusanya mashabiki na wapenzi wa muziki wa injili kwa pamoja kila siku za ijumaa jioni ili kumsifu Mungu, kuchangamka na kucheza pamoja huku kundi hilo likisimamia ratiba nzima, utaratibu huo ulitokea kuanza kupendwa na wapendwa wengi ambao walikuwa wakiishia kujifungia ndani ya nyumba zao mpaka jumapili ndipo waende kanisani na kujikuta wakipata sehemu ya mtoko ambao hata hivyo ulikuja kusimama na sasa unarejea tena.
GWT mpaka sasa in a album mbili ya kwanza ilikuwa Niguse na yasasa iitwayo Umenifanya ibada. Angalia video ya chini kama walivyonaswa katika moja ya huduma zao walipotembelea jijini Mwanza. Video hii si rasmi bali mmoja wa waliohudhuria alirekodi wimbo huu.
No comments
Post a Comment