Writen by
sadataley
9:17 AM
-
0
Comments
Naibu Katibu Mkuu ,Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Technolojia Profesa Makunga akifuangua semina elekezi kwa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara zote zilizopo Jijini Dar es Saalam kwa ajili ya kuwajengea uelewa pamoja na kuhamasisha matumizi ya anwani za makazi na misimbo ya posta
Naibu Katibu Mkuu ,Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Technolojia Profesa Makunga akipongezwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya posta na Mamlaka ya mawasiliano Bi. Rehema Makubwi mara baada ya kufungua semina elekezi kwa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara zote zilizopo Jijini Dar es Saalam kwa ajili ya kuwajengea uelewa pamoja na kuhamasisha matumizi ya anwani za makazi na misimbo ya posta
Habari na Picha kwa hisani ya Issa Michuzi
No comments
Post a Comment