Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 17, 2013

SEMINA YA MATUMIZI YA MAKAZI NA MISIMBO YA SIMU YA POSTA


Naibu Katibu Mkuu ,Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Technolojia Profesa  Makunga akifuangua semina elekezi kwa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara zote  zilizopo  Jijini Dar es Saalam kwa ajili ya kuwajengea uelewa pamoja na  kuhamasisha matumizi ya anwani za makazi na misimbo ya posta

Naibu Katibu Mkuu ,Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Technolojia Profesa  Makunga  akipongezwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya posta na Mamlaka ya mawasiliano Bi. Rehema Makubwi mara baada ya kufungua semina elekezi kwa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara zote  zilizopo  Jijini Dar es Saalam kwa ajili ya kuwajengea uelewa pamoja na  kuhamasisha matumizi ya anwani za makazi na misimbo ya posta

Habari na Picha kwa hisani ya Issa Michuzi
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment