Writen by
sadataley
9:45 PM
-
0
Comments
Kijana Snowden alipokuwa katika majadiliano nchini Urusi baada ya kupata hifadhi
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa inaonekana Edward Snowden "amehama kutoka makazi yake fulani hasa pale aalipoweza kupata hifadhi yake huko Urusi,
Putin pia aliweza kutoa maoni juu ya Snowden,wakati akifanya mazungumzo na mmoja wa wanafunzi na Chama cha kijiografia cha Urusi, ilikuja baada ya Snowden kutamka juu ya haki za binadamu na kisheria kwamba anataka hifadhi ya muda mfupi wakati akisubiri mazungumzo yatakayofanywa na Amerika ya Kusini.
Putin alisema mapema mwezi huu kwamba Snowden alitakiwa kuacha kazi yake kwamalengo kwamba ameyadharau mashirika ya Kimarekani,kama angeendelea kuishi katika nchi hiyo.pia katika siku zilizopita Snowden alilipotiwa kwa kusema kwamba hakuwa na malengo mabaya au madhara mabaya na nchi hiyo katika siku zijazo.
"Snowden anajua kuhusu njia ambazo zitaweza kumfanya apate hifadhi za kisiasa" Putin alisema.
No comments
Post a Comment