Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 10, 2013

PAPA FRANCIS AMTEUA ASKOFU KIJANA KABISA

 ANA UMRI WA MIAKA 50 TU NA TAYARI AMETEULIWA KUWA ASKOFU KATIKA KUSHREHEKEA SIKUKUU YA VIJANA DUNIANI

Baba  Mtakatifu amemteua  Padre Abdallah Elias Zaidan  kuchukua nafasi ya Askofu Robert J. Shaheen aliyejiuzuru. Askofu Elias Zaidan ametangazwa rasmi  leo hii na wajibu wake utaanza mara moja . Atakuwa ni  Askofu wa Jimbo liitwalo Our Lady of Lebanon Eparchy.
Kabla ya uteuzi huo Askofu Zaidan alikuwa akitumika kama Kasisi wa kanisa Kuu huko Lebanon huko Lousiana.
Askofu Zaidan alizaliwa huko Kosaybé, Lebanon mwezi  March 10, 1963 katika maisha yake ya utumishi amekuwa mmoja wa wafuasi wa shirka la Walebanoni na ametumika katika tume mbalimbali  ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kama mtawala katika shule  na kufanya utume wa Kichungaji katika Parokia mbalimbali.
Askofu Zaidan licha ya kuzungumza lugha ya  Kiingereza pia anauwezo wa kuzungumzaa Kiarabu,Kifaransa, Kiitalia, Kihispania na Kisiria.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment