Writen by
sadataley
5:18 PM
-
0
Comments
Ni baada ya msichana mwenye umri wa miaka 21 kufariki baada ya kupata ajali ya barabarani katika maeneo ya huko Ufaransa.
kushoto niKadinari Berton ambaye alipeleka rambirambi badala ya Papa Francis.
Papa ameungana na mahujaji wa huko Ufaransakatika kuomboleza kifo cha binti mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Sophie Moriniere mwenye umriwa miaka 21 ambaye pia alikuwa ni mmoja kati ya wanachama wa world youth day iliyojulikana kama (WYD) ambaye aliweza kukutwa na kifo hicho mara tu baada ya kupata ajali barabarani.
Pia katika ujumbe ambao ulisainiwa,na kutumwa katika tovuti ya archdiocesan Kadinari Berton alisema kwamba Papa Francis ameweza kuungana na familia ya waanga hao na kuweza kuomboleza pamoja katika tukio hilo ,ambapo pia alisema Papa alionekana akiwa na majonzi na masikitiko juu ya msiba huo.
Imewekwa na Happy adam
kwahabari zaidi tembelea;http://www.catholicherald.co.uk/news/2013/07/19/pope-joins-the-mouring-for-world-youth-day-pilgrim/
No comments
Post a Comment