Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Thursday, July 4, 2013

MWENYEKITI WA TUME YA KATIBA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO


Mwenyekiti wa Tume ya  Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba anatarajiwa kukutana na Wanahabari siku ya kesho 5Julai,2013  katika ukumbi wa mikutano uliopo katika Makao Makuu ya Tume hiyo jijini Dar es Saalam
Picha na habari kwa hisani ya Issa Michuzi
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment