Writen by
sadataley
4:21 PM
-
0
Comments

Ndege tayari imetua na muda si mrefu Rais Barack Obama atakanyaga arhi ya Tanzania

Akiwa mwenye furaha akiongozana na familia yake hao wanashuka hivi sasa

Hapa tayari akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete

Hapa akikagua gwaride rasmi

Hao wakifurahia ngoma za asili



Tayari kuelekea Ikulu
Picha kwa hisani ya TBC
No comments
Post a Comment