Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, June 30, 2013

KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA 
DAYOSISI YA IRINGA

SIKUKUU YA VIJANA USHARIKA WA KIHESA 
JIMBO LA KASKAZINI 

NENO KUU : VIJANA NI KIU YA MABADILIKO KATIKA JAMII   

"SOTE TUKUBALI KUTUMWA KATIKA JAMII KWA HUDUMA MBALIMBALI TUNAZOITWA NA TULIZOITWA"-ISAYA  6:1-7


  Katikati ni Mkuu wa Jimbo la Kaskazini Mchg. Donald Kiwanga, kushoto ni Mchg. Yusto Kinyoa na Mchg. Kisabugo
                                                                     Wazee wa kanisa wakiwa kazini
      Mkuu wa Jimbo akizungumza na vijana baada ya ibada ya Pili leo hii hapa katika Usharika wa Kihesa
                           Mchg. Yusto Kinyoa na Mchg. Kisabugo  mara baada ya Ibada ya pili
                                                  Wazee wa Kanisa Vijana wakiwa na Wachungaji

   
                             Wazee wa Kanisa wakiwa na Mchungaji Kijana   Mchg. Kurwa Sadataley
Wazee wa Kanisa Vijana wakiwa na Wachungaji
Ni wakati wa chakula  sasa






« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment