Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, March 13, 2018

Wapinzani wa Simba walazimishwa suluhu

Klabu ya Al Masry imelazimishwa suluhu ya 0-0 dhidi ya El Entag El Harby katika mchezo wa Ligi Kuu Misri uliopigwa jana.

Al Masry wamelazimishwa suluhu hiyo wakiwa wanajiandaa kuwakabili vinara wa Ligi Kuu Bara, Simba SC, Jumamosi ya wiki hii kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Africa.

Kuelekea mechi hiyo, Al Masry sasa ipo nafasi ya 4 katika msimamo wa Ligi Kuu nchini humo ikiwa na pointi 49 wakiwa wamecheza michezo 26.

Mechi yao dhidi ya Simba itafanyika Machi 17 2018 kwenye Uwanja wa Port Said Jumamosi ya wiki hii.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment