Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, March 19, 2018

Trump aonywa asivuruge uchunguzi wa Mueller

Rais Trump aonywa na wanachama wenzake

Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionRais Trump aonywa na wanachama wenzake
Rais Donald Trump ameonywa na wanachama wa chama chake cha Republican kuacha kuingilia uchunguzi maalumu kuhusiana na Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani uliopita.
Hatua hii ya wanachama wa Republican inakuja baada ya rais Trump kumshambulia kuhusiana na uchunguzi wake dhidi ya Urusi kudaiwa kuingilia uchaguzi wa mwaka 2016.
Ktika ukurasa wake wa Tweeter mwishoni mwa juma,Trump alirejea kutoa utetezi wake amesisitiza kuwa hakukuwa na uhusiano wowote kati ya timu yake ya kampeni na Urusi na kusema kuwa hiyo ni vita binafsi inayoshabikiwa na Democrats
Mueller,ambaye ni mkuu wa zamani wa FBI,anaungwa mkono na Republican kuendelea na uchunguzi wake bila kuingiliwa.
iSenata Lindsey Graham amesema Trump asijaribu kufchukua hatua yoyote dhidi ya Muellr.

BBC

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment