Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, March 12, 2018

Rakitic: Neymar karibu tena Barcelona

Kiungo Mshambuliaji Ivan Rakitic, amesema milango ya Neymar kurejea FC. Barcelona iko wazi.

Neymar aliondoka Barcelona kwenda PSG ya Ufaransa kwa ada ya uhamisho pauni milioni 198, mwezi Agosti 2017.

Rakitic amesema kuwa, ukiachilia mbali mahusiano yao ya urafiki, anamkaribisha mchezaji kutokana na aina ya uchezaji alionao pia angependa kuona akiwa katika kikosi cha kwanza.

Ni siku kadhaa tu zilizopita kumezuka taarifa za Neymar kutaka kurudi Barcelona, taarifa zinazoelezwa ni kutokufanya vizuri kwa timu yake kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment