Serikali ya Israel yataifisha mal ina milki za kani Yerusalmeu Mashairiki katika eneo linalokaliwa kimabavu.
Israel inajaribu kutaifisha mali za kanisa Yerusalemu kwa kulazimisha malipo makubwa ya ushuru.
Katibu mkuu wa tume ya kiislamu na ukristo ya kuunga mkono Yerusalemu na miji mitakatifu Hanna Isa amefahamisha kuwa kiwango cha dola milioni 191 za ushuru zinatakiwa na serikali.
Serikali ya Israel inaomba kiwango hicho cha kodi licha ya kutambua kuwa kiwango hicho kanisa hailina uwezo wa kulipa kiwango hicho.
Isa aliendelea kusema kuwa Israel inajaribu kutaifisha mali za kanisa jii Yerusalemu.
Miongoni mwa mali zinalengwa na Israel kutaifishwa na pamoja na mashamba, vituo vya biashara, shule, hospitali na milki nyingine.
Kwa mujibu wa Isa , Israel kumalizika kodi hiyo ni kuwalamisha wakristo kuondoka Yerusalemu.
No comments
Post a Comment