Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, March 6, 2018

Hali ya Lissu yazidi kuimarika, aanza kufanya mazoezi mitaani Ubelgiji


Hali ya afya ya Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Mhe. Tundu Lissu imeendelea kuimarika na sasa ameanza kufanya mazoezi mitaani.

Lissu ambaye yupo nchini Ubelgiji akiwa katika matibabu alipopelekwa tangu mapema mwezi January mwaka huu, ameonekana kwenye picha kadhaa akiwa na mkewe katika mazoezi hayo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment