Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 19, 2017

Zitto Kabwe ampinga Tundu Lissu

Kiongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe apinga Kauli ya Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Lissu ya kutaka wafadhili na jumuiya za Kiataifa kuinyima misaada Tanzania kwa sababu ya Serikali kuiminya Demokrasia.


Kupitia Ukuirasa wake wa  Twitter ameendika hivi.

Zitto Kabwe amesema kuwa kuzuiliwa kwa misaada kutoka Nje sio njia sahihi ya kutete Demokrasia .
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment