Writen by
sadataley
10:51 AM
-
0
Comments
Polisi nchini Uswisi wamasema wamemkata mtu ambaye anaaminika kufanya shambulizi la kwa kutumia msumeno siku ya jumatatu.
Shambulizi hilo lilifanywa ndani ya ofisi moja ya umma.
Baada ya tukio hilo, Franz Wrousis mwenye miaka 51 alimakatwa kilomita 60 nje ya mji wa Schaffhausen, shambulizi hilo lilipotokea.
Wafanyakazi watano kwenye ofisi hiyo inayohusika na masuala ya bima ya afya walijeruhiwa vibaya, huku mmoja hali yake ikisemekana kuwa ni mbaya sana.
Mshukiwa huyo alikuwa akifuatiliwa na polisi kabla ya tukio hilo.
BBC
No comments
Post a Comment