Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, February 27, 2017

Tabia 10 zinazoharibu Figo

Tabia 10 zinazoharibu Figo

  1. Kubana mkojo muda mrefu
  2. Kutokunywa maji ya kutosha kila siku
  3. Kutumia chumvi nyingi kuzidi kiwango
  4. Kula nyama mara nyingi
  5. Kutokula chakula cha kutosha
  6. Kuchelewa kujitibu maambukizi madogo madogo haraka na kwa usahihi
  7. Kutumia visivyo dawa za kutuliza maumivu
  8. Kutumia dawa kwa ajili ya insulin kwa muda mrefu
  9. Kunywa pombe kupita kiasi
  10. Kutopata muda wa kutosha kupumzika

Kunywa glasi 2 za juisi ya parachichi kila siku kutaziweka figo zako katika hali ya usafi na afya.
Habari zote za Afya kwa hisani ya Muungwana Blog
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment