Writen by
sadataley
2:35 PM
-
0
Comments
Papa Francis amesema kuwa anatarajia kufanya ziara Sudani ya Kusini pamoja na askofu mkuu wa Canterbury, Justin Welby.
Papa aliongeza kuwa Maaskofu wa Sudan Kusini wamekua wakimtaka afanye ziara nchini humo ili ashuhudie athari ya njaa na vita kwa watu wa sudani kusini.
Chanzo BBC
No comments
Post a Comment