Writen by
sadataley
9 years ago
-
0
Comments
Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi akiwaelezea
Mawaziri kutoka Zanzibar jinsi Kituo cha Huduma kwa Mteja cha Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kinavyorahisisha kutoa Huduma za
Ardhi bila usumbufu kwa Wananchi. Kuanzia Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Mohamed Aboud, Waziri wa Kilimo,
Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Hamad Rashid, Waziri wa Ardhi,
Maji, Nishati na Mazingira Zanzibar Mhe. Salama Talib na Katibu Mkuu
Wizara wa Ardhi Dkt. Yamungu Kayandabila.
Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi akimuonesha Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Mohamed Aboud jinsi
ya kutumia mashine ya kutolea huduma za Ardhi katika kituo cha Huduma
kwa Mteja cha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Waziri wa Ardhi,
Maji, Nishati na Mazingira Zanzibar Mhe. Salama Talib akipata maelezo
kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William
Lukuvi jinsi Wizara yake ilivyofanikiwa kuyapatia ufumbuzi masuala
mbalimbali ya Ardhi na kuwaondolea usumbufu Wananchi katika kupata
huduma za Ardhi. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara wa Ardhi Dkt. Yamungu
Kayandabila.
Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi akiwa na ujumbe wa
Mawaziri kutoka Zanzibar walipofika ofisini kwake.
Wananchi
wakipata Huduma za Ardhi katika Kituo cha Huduma kwa Mteja cha Wizara
ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.Imetolewa na Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
No comments
Post a Comment