Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, August 10, 2014

CHAGUO LA GK WIMBO WA INJILI USIOCHUJA NCHINI LICHA YA MIAKA KUPITA


Chaguo la GK siku ya leo ni kutoka kwa mwanamama Upendo Nkone ambaye ni mke wa askofu Mbeyela, wimbo tuliokuchagulia kutoka kwake ni ule uliotamba na kuendelea kuwepo masikioni mwa watu mpaka leo hii 'Usifurahi Juu Yangu'. Wimbo huu umerekodiwa jumapili iliyopita wakati mwanamama huyu akiimba katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam kwenye ibada ya shukurani kwa Mungu iliyoandaliwa na kanisa la Ufufuo na Uzima.

Nimatumaini yetu kwamba utabarikiwa kupitia wimbo huu kwamba licha ya kuimbwa kwa cd lakini utaona mwimbaji na waumini walivyouimba kwa kumaanisha na kuonyesha uwepo wa Mungu ulivyofunika eneo hilo. Barikiwa

Upendo na mumewe Askofu Mbeyela.  Habari na Gospel kitaa
 
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment