Writen by
sadataley
10:25 PM
-
0
Comments
Mpelelezi wa ki-Palestina asema Israel ndio mshukiwa mkuu wa kifo cha Arafat.
Tawfik Tirawi mpelelezi mkuu wa ki-Palestina anayechunguza kifo cha Arafat aliwaambia waandishi wa habari Ijumaa huko Ramaallah kwamba uchunguzi utaendelea alikielezea kifo cha Arafat kuwa ni uhalifu wa karne ya 21.
Maelezo hayo yametolewa baada ya wanasayansi wa ushahidi wa Uswiss kusema kuwa wamepata ushahidi wa kiwango fulani unaounga mkono wazo kwamba kiongozi huyo wa Palestina alipewa sumu inayosababisha kifo ya mnunurisho wa Polonium.
No comments
Post a Comment